JUSTINE BIEBER ASHTAKIWA NA MTU ANAEDAI KUWA BABA WA GF WAKE, ETI ALIMUIBIA CREDIT CARD ILI AKUZE PEN*S YAKE”.


Justine Bieber

Katika hali ambayo inaonesha kuwa ni kituko cha mwaka, ama kichekesho flani tu ambacho obvious kinaonesha kutokuwa na ukweli, mtu mmoja ambae anadai kuwa ni baba mzazi wa girlfriend wa Justine Bieber mrembo Selena Gomez amefungua kesi mahakamani pande za Michgan.
Mtu huyo alifungua kesi yenye mambo mengi ya kushangaza, na pamoja na malalamiko yake pia yamewahusisha mastaa wengine wakubwa, haya ni kati ya malalamiko ya mtu huyo.
…“Bieber alinikopa $ 426.78 na hajawahi kunirudishia. Hizi pesa zilitumika kwa ajili ya kufanya abortion kwa sababu Justine Bieber alimpa binti yangu ujauzito kwenye chumba changu.”
…“Usher Raymond alikuja nyumbani kwangu tarehe 4, july 2012 na akaniingilia kinyume na maumbile na firework na akaiwasha in my anal area wakati huo anapiga makelele na wimbo wa Kate Perry Firework kwenye ngoma ya masikio yangu.”
…“Bieber aliiba credit card kwa ajili ya kununua cocaine kwa ajili yake na Sean P-ditty Combs.” Duh hapa alimaanisha P-Diddy, it’s funny heh!!!
….“Bieber pia alifanya pen*s enlargement kwa credit card yangu aina ya  ‘American express’.”
Lakini pia eti Bieber alimcheat binti yake na kutoka na Rihanna, Ke$ha na Penelope Cruz.
Hata hivyo mwisho wa malalamiko hayo akamaliza kuwa… “I’m an emotional mess…marekani inabidi isimamishe biashara ya muziki wa Bieber.”
Document ya kesi hii imenaswa na mtandao wa TMZ na hii ni document ambayo ni ya ajabu na ina malalamiko yasiyo ya kweli hata kwa kuyasikia tu, na inawezekana hayajawahi kutokea mahakamani hapo.
Kwa hiyo TMZ iliona hakukuwa na haja ya kumtafuta Bieber kumuuliza haya kwa sababu ni obvious uongo mtupu.

No comments:

Post a Comment