Justin Bieber aonesha Tattoo mpya ya Bundi aliyochora mkononi, aiandikia maelezo.



Mwimbaji mwenye umri mdogo  toka Canada Justin Bieber ameongeza tattoo collection yake, tattoo ambayo ameichora kwenye mkono wake wa kushoto inaonesha picha ya bundi na kuiandikia maandishi yanayosomeka “Befo the paps get me.” Na alitweet maandishi haya.
Picha hiyo inaongeza idadi ya tattoo alizochora Bieber ikiwepo tattoo ya ndege mdogo kwenye hip yake ya kushoto, tattoo nyingine yenye picha ya Yesu, tattoo ya symbol ya kijapan inayoomaanisha muziki kwenye mkono wake wa kulia, na crown ndogo kwenye kifua chake upande wa kulia.
The Boyfriend hit maker anazidi kuongeza tattoo wakati anaendelea kusherehekea kuachiwa kwa album yake ya “Believe”.

No comments:

Post a Comment