Mama mtu mzima mahakamani kwa kufanya mapenzi na watoto wawili mtu na mdogo wake, mmoja miaka 15 mwingine 17... Apata ujauzito , ashindwa kujua ni wa nani kati yao!!



Mama mmoja aliyeolewa na mwenye watoto watatu ambae anaishi Hull, Uingereza, amefikishwa mahakamani baada ya kugundulika kuwa alipata ujauzito baada ya kufanya mapenzi kwa wakati mmoja na mtoto wa shule, mmoja mwenye miaka 15 na kaka yake mwenye miaka 17.
Mama huyo anaejulikana kwa jina la Claire Louise Roundil(32), alimnasa mtoto wa miaka 15 kimapenzi baada ya kumuonesha picha zake zaidi ya mia moja akiwa mtupu, picha zilizoonesha zaidi sehemu za matiti.
Baada ya kumteka akili na hizo picha mama huyo alimpeleka chocho na akampa huyo mtoto share ya mmewe. Lakini aliendelea kumbadilishia location mara kwa mara ili kumpa mzuka zaidi wa kufanya nae sex.
Ripoti ya polisi ilionesha kuwa mama huyo alikuwa pia na mahusiano ya kimapenzi na kaka yake huyo mtoto na alimpata kwa style ile ile kama alivyomnasa mdogo wake, yaani kumuonesha picha zake akiwa mtupu kisha anamteka akili na kumpeleka kajificheni kumpa burudani, na mara nyingine shughuli iliishia kwenye gari la mama huyo.
Hata hivyo uchunguzi wa polisi ulionesha kuwa baada ya mama huyo kupata ujauzito ilimbidi autoe, na alipoulizwa alisema kuwa hata aliyempa mimba hamjui kati ya hao watoto wawili kwa sababu alikuwa anafanya nao mapenzi wote.
Moja kati ya sababu za kufanya hivyo imesekana kuwa alikuwa na matatizo makubwa katika ndoa yake na matatizo ya kifedha ambavyo vyote viliichanganya sana akili yake.
Na hivyo ikaonekana kuwa “She is not the type of defendant the court needs to send to prison immediately.”  Na akapewa kile kifungo kinachoitwa kisheria “suspended sentence” baada ya kukiri tuhuma zote. Ikimaanisha aliwekwa chini ya uangalizi mkali wa mahakama kwa muda wa miezi tisa.
Na wakati wa kutoa hukumu jaji John Dowse alimwambia mahakama itaweka kumbukumbu ya haya mashtaka, na kwamba ajue kuwa anarekodi hii maisha yake yote.
Hata hivyo baba mzazi wa wavulana hao alisikika akilalamika akisema “kama ingekuwa ni mwanaume ndiye kafanya mapenzi na msichana wa miaka 15 angefungwa hata bila kutia mashaka, lakini kwa sababu ni mwanamke ndo kafanya hivi kwa wavulana kaachiwa, she took advantage of both my son, mwanangu mkubwa alipomuacha akamrukia mdogo, alikuwa amepanga yote haya. Akamaliza kwa kusema “It was disgusting what she did.”
Haya kila kubwa lina Kubwa Lake, na hili ni miongoni mwa makubwa.

No comments:

Post a Comment