Amber Rose ataja jinsia ya mtoto wao mtarajiwa ‘bila kukusudia’! Alidai ndoa kabla ya kujifungua.



Amber Rose ambae ni girlfriend wa Rapper Wiz Khalifa ameandika tweet kwa followers wake million 1.4 iliyotaja jinsia ya mtoto wao wanaemtarajia.  lakini katika tweet hiyo anaonesha kama hakuwa na plan ya kutaja jinsia ya mtoto huyo ila ni kama ameitaja accidentally,wanatarajia mtoto wa kiume.
Lakini hii inawezekana aliamua tu kwa sababu ameandika katika tweet moja hiyo hiyo message inayotaja jinsia ya mtoto wao mtarajiwa na hapo hapo anashtuka kama kataja bila kujua.
Tweet yake ya jumapili ilikuwa inasomeka “My friend Maria bought our Lil Boy this Slash onesie….Oops did I say Lil Boy???
Hata hivyo Media za U.S.A zimefatilia sana kujua jinsia ya mtoto mtarajiwa wa mastaa hawa, na wiki iliyopita gossip sites zilitangaza jinsia ya mtoto wao na kusisitiza kuwa wamefatilia na wamepata uhakika kuwa ni mtoto wa kiume na hii ni kutokana na shopping wanazofanya mastaa hawa ambapo vitu vinavyonunuliwa kwa ajili ya maandalizi ya mtoto wao inaonesha wazi kuwa ni mtoto wa kiume, hasa vitu vya rangi ya blue.

Lakini hata ukifatilia statement za Wiz Khalifa mwenyewe huwa anataja kiwakilishi ‘HE’ akiwa anamzungumzia mtoto wao japo hajawahi kusema kuwa ni mtoto wa kiume lakini hii pia ilikuwa inamaana. Mwezi August alimwambia rapper Colloway “You’re going to teach him how to rap.”

Hivi karibuni pia Amber Rose alipokuwa anazungumzia mipango yao ya kumpokea mtoto wao katika maisha yao alisema wanapanga kuoana kwanza kabla hajajifungua mtoto.
“Nah, hakuna tarehe iliyopangwa bado. Lakini tunaweza kupata license na kufunga ndoa kabla mtoto hajazaliwa, na tutafanya sherehe baadae kwa sababu italeta maana kwa mtoto kuzaliwa katika wedding na zaidi ya kuwa katika hii hali ya ujauzito tu. Watu wengine wanaharakisha na kufanya. Lakini njia zote zinawezekana” alisema Amber Rose ambae ni Ex girlfriend wa Kanye aliyezama kwenye bahari ya penzi la rapper Wiz Khalifa.

No comments:

Post a Comment