Hizi ni baadhi ya picha za show ya Diamond katika Tamasha la Zanzibar Film Festival











On Stage sasa





Huu ndio baadhi ya umati ulioudhuria katika show yangu ya Ziff Festival Zanzibar

Mi hapa sitii neno....Lol!



Wanasema music ni moja ya kazi amabayo licha ya kua uko kazini ila inakupa burudani pia wakati uifanyapo kazi hio



Wanasema gym ni moja ya kitu muhim sana kwa mwanamuziki, hufanya hata ukiwa stage ukivua shati upendeze na kuvutia mbele za watu... do you think it's true?

Ma baby say's Mgongo wangu ni moja ya kitu kinachomfanya Anipende sanaaaaaaaaa......

Huyu ndiye  aliyekua akiscratch kwenye timetable wakati Niko kwa stage... na kwa taarifa zilizo chini ya Carpet ni kwamba tuko chini kimazungumzo Soon wenda akatangazwa rasmi kua ndio Official DJ wa Diamond Platnumz Baby


Niwashkuru jeshi zima la Polisi la Zanzibar na security wote walokua wakihakikisha usalama juu yangu na team yangu nzima ya Wasafi

Mabinti sasa na Diamond wao...Maskini ya mungu wakati wengine nawaoneaga hadi huruma wakitolewa na kusukumwa  na hata wengine kupigwa na ma Security lakini sku zote wamekua wakoradhi wafanywe chochote lakini wahakikishe hata wananigusa na ikiwezekana kupiga picha kabisa na mimi



Dha! maskini hawakutaka hata niingie kwenye gari walipenda hata nibaki japo tuongee mawili matatu lakini ndio hivyo tena  management haikuniruhusu....shaaaaaaaaaaaa...! nikasepa

No comments:

Post a Comment