Shuhudia Harusi ya JCB kutoka watengwa na Mpenzi wake iliyofungwa Arusha

Msanii wa hip hop kutoka kundi la watengwa ambalo Maskani yake yapo Arusha ,
JCB Juzi aliuaga ukapela na Kufunga Ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu Diana
Jorgensen pande za Arusha..!!
JCB akidondosha wino kwenye kitabu cha Ndoa..!!
Diana akidondosha  wino kwenye kitabu cha Ndoa..!

Picha ya Pamoja ya JCB na Mkewe Diana wakiwa na Ndugu,Jamaa na Marafiki
bahada ya kufunga ndoa..!!

No comments:

Post a Comment